1 Wakorintho 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ninaandika mambo haya, si ili kuwaaibisha ninyi, bali kuwaonya kama watoto wangu wapendwa.+ Wagalatia 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 watoto wangu wadogo,+ ambao tena nina maumivu ya kuwazaa mpaka Kristo aumbike ndani yenu.+