Methali 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+ Methali 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Urithi kutoka kwa akina baba ni nyumba na mali,+ lakini mke mwenye busara hutoka kwa Yehova.+
22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+