11 na nyumba zilizojaa vitu vyote vizuri na ambazo hukuzijaza, na mashimo ya maji yaliyochimbwa ambayo hukuyachimba, mashamba ya mizabibu na mizeituni ambayo hukuipanda, nawe utakapokuwa umekula na kushiba,+
6 Nanyi mtaitwa makuhani wa Yehova;+ itasemekana ninyi ni wahudumu wa Mungu wetu.+ Ninyi mtakula mali za mataifa,+ nanyi mtasema kujihusu ninyi wenyewe kwa kuchangamka katika utukufu wao.+