2 Samweli 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Labda Yehova ataona+ kwa jicho lake, na Yehova atanirudishia wema badala ya laana yake leo hii.”+ Zaburi 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Malaika wa Yehova anapiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa,+Na yeye huwaokoa.+ 1 Petro 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, basi, acheni wale wanaoteseka kwa kupatana na mapenzi ya Mungu waendelee kuzikabidhi nafsi zao kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+
19 Kwa hiyo, basi, acheni wale wanaoteseka kwa kupatana na mapenzi ya Mungu waendelee kuzikabidhi nafsi zao kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+