Kumbukumbu la Torati 32:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisasi ni changu, na malipo.+Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+ Methali 24:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Usiseme: “Nitamtendea kama vile tu alivyonitendea.+ Nitamlipa kila mtu kulingana na tendo lake.”+ Mathayo 5:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Ninyi mlisikia kwamba ilisemwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’+ Waroma 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote. 1 Wathesalonike 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Angalieni kwamba mtu asimlipe mwingine yeyote ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote fuatilieni yaliyo mema kuelekea mtu na mwenzake na kwa wengine wote.+ 1 Petro 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 msilipe ubaya kwa ubaya+ au matukano kwa matukano,+ bali, kinyume chake, mkitoa baraka,+ kwa sababu mliitwa kwenye mwendo huu, ili mrithi baraka.
35 Kisasi ni changu, na malipo.+Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+
15 Angalieni kwamba mtu asimlipe mwingine yeyote ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote fuatilieni yaliyo mema kuelekea mtu na mwenzake na kwa wengine wote.+
9 msilipe ubaya kwa ubaya+ au matukano kwa matukano,+ bali, kinyume chake, mkitoa baraka,+ kwa sababu mliitwa kwenye mwendo huu, ili mrithi baraka.