1 Wathesalonike 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Angalieni kwamba mtu asimlipe mwingine yeyote ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote fuatilieni yaliyo mema kuelekea mtu na mwenzake na kwa wengine wote.+ 1 Petro 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu. 1 Petro 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 msilipe ubaya kwa ubaya+ au matukano kwa matukano,+ bali, kinyume chake, mkitoa baraka,+ kwa sababu mliitwa kwenye mwendo huu, ili mrithi baraka.
15 Angalieni kwamba mtu asimlipe mwingine yeyote ubaya kwa ubaya,+ bali sikuzote fuatilieni yaliyo mema kuelekea mtu na mwenzake na kwa wengine wote.+
23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu.
9 msilipe ubaya kwa ubaya+ au matukano kwa matukano,+ bali, kinyume chake, mkitoa baraka,+ kwa sababu mliitwa kwenye mwendo huu, ili mrithi baraka.