13 kwa hiyo kosa hili litakuwa kwenu kama sehemu iliyovunjika ambayo inakaribia kuanguka, uvimbe katika ukuta ulioinuliwa juu sana,+ ambao kubomoka kwake kunaweza kuja kwa ghafula, mara moja.+
3 Kwa maana maono hayo bado ni ya wakati uliowekwa,+ nayo yanafanya haraka kuelekea mwisho, wala hayatasema uwongo. Hata yakikawia, endelea kuyatarajia; kwa maana bila shaka yatatimia.+ Hayatachelewa.
3 Pia, kwa tamaa watawatumia ninyi vibaya kwa maneno yasiyo ya kweli.+ Lakini kuwahusu wao, hukumu ya tangu zamani za kale+ haisongi polepole, na maangamizi yao hayalali.+