Zaburi 62:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtaendelea mpaka wakati gani kumshambulia mtu ambaye mngetaka kumuua?+Ninyi nyote ni kama ukuta unaoinama, ukuta wa mawe ambao unasukumwa ndani.+ Luka 6:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Kwa upande mwingine, yule anayesikia na hatendi,+ anafanana na mtu aliyejenga nyumba juu ya udongo bila msingi. Mto uliipiga kwa nguvu, na mara ikaporomoka, na uharibifu+ wa nyumba hiyo ukawa mkubwa.”+
3 Mtaendelea mpaka wakati gani kumshambulia mtu ambaye mngetaka kumuua?+Ninyi nyote ni kama ukuta unaoinama, ukuta wa mawe ambao unasukumwa ndani.+
49 Kwa upande mwingine, yule anayesikia na hatendi,+ anafanana na mtu aliyejenga nyumba juu ya udongo bila msingi. Mto uliipiga kwa nguvu, na mara ikaporomoka, na uharibifu+ wa nyumba hiyo ukawa mkubwa.”+