Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndivyo zilivyo njia za wale wote wanaomsahau Mungu,+

      Na tumaini la mwasi-imani litaangamia,+

  • Waebrania 10:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Je, mnafikiri atahesabiwa kuwa anastahili adhabu kali zaidi namna gani,+ mtu ambaye amemkanyagia chini+ Mwana wa Mungu na ambaye ameiona kuwa yenye thamani ya kawaida tu damu+ ya agano ambayo kupitia hiyo alitakaswa, na ambaye ameitendea kwa dharau ile roho+ ya fadhili zisizostahiliwa?

  • 2 Petro 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hakika ikiwa, baada ya kuponyoka kutoka katika mambo ya unajisi ya ulimwengu+ kwa ujuzi sahihi juu ya Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, wanajiingiza tena katika mambo haya na kushindwa,+ hali ya mwisho imekuwa mbaya zaidi kwao kuliko ile ya kwanza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki