Danieli 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akasema: “Tazama, nakujulisha mambo yatakayotokea wakati wa mwisho wa shutuma, kwa sababu ni kwa wakati uliowekwa wa mwisho.+ Danieli 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nimekuja kukufanya utambue mambo yatakayowapata watu wako+ katika siku za mwisho,+ kwa kuwa hayo bado ni maono+ ya siku ambazo zitakuja.”+ Matendo 17:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Naye alifanya kutoka kwa mtu mmoja+ kila taifa+ la watu, ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ naye aliamuru nyakati+ na mipaka ya makao ya watu,+
19 Naye akasema: “Tazama, nakujulisha mambo yatakayotokea wakati wa mwisho wa shutuma, kwa sababu ni kwa wakati uliowekwa wa mwisho.+
14 Nami nimekuja kukufanya utambue mambo yatakayowapata watu wako+ katika siku za mwisho,+ kwa kuwa hayo bado ni maono+ ya siku ambazo zitakuja.”+
26 Naye alifanya kutoka kwa mtu mmoja+ kila taifa+ la watu, ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ naye aliamuru nyakati+ na mipaka ya makao ya watu,+