Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Msigombane nao, kwa sababu sitawapa ninyi sehemu ya nchi yao hata upana wa wayo wa mguu; kwa sababu nimempa Esau Mlima Seiri uwe miliki yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 nawe utakaribia mbele ya wana wa Amoni. Usiwasumbue wala usigombane nao, kwa sababu sitakupa sehemu yoyote ya nchi ya wana wa Amoni iwe miliki yako, kwa maana nimewapa wana wa Loti iwe miliki yao.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+

      Alipowatenganisha wana wa Adamu,+

      Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+

      Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+

  • Isaya 34:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na ni Yeye amewapigia kura, na mkono wake mwenyewe umewagawia mahali hapo kwa kamba ya kupimia.+ Wataimiliki mpaka wakati usio na kipimo; watakaa ndani yake kizazi baada ya kizazi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki