Mwanzo 32:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Yakobo akatuma wajumbe+ mbele yake kwenda kwa Esau ndugu yake kwenye nchi ya Seiri,+ eneo la Edomu,+ Mwanzo 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Esau akaanza kukaa katika eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ni Edomu.+ Kumbukumbu la Torati 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+Alipowatenganisha wana wa Adamu,+Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+ Yoshua 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Isaka nikampa Yakobo na Esau.+ Baadaye Esau nikampa Mlima Seiri ili aumiliki;+ na Yakobo na wanawe wakashuka Misri.+ 2 Mambo ya Nyakati 20:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na sasa, tazama, wana wa Amoni,+ na Moabu+ na eneo lenye milima la Seiri,+ ambao hukuruhusu Israeli wawavamie walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri, bali waligeukia mbali kutoka kwao wala hawakuwaangamiza,+ Matendo 17:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Naye alifanya kutoka kwa mtu mmoja+ kila taifa+ la watu, ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ naye aliamuru nyakati+ na mipaka ya makao ya watu,+
3 Kisha Yakobo akatuma wajumbe+ mbele yake kwenda kwa Esau ndugu yake kwenye nchi ya Seiri,+ eneo la Edomu,+
8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+Alipowatenganisha wana wa Adamu,+Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+
4 Ndipo Isaka nikampa Yakobo na Esau.+ Baadaye Esau nikampa Mlima Seiri ili aumiliki;+ na Yakobo na wanawe wakashuka Misri.+
10 Na sasa, tazama, wana wa Amoni,+ na Moabu+ na eneo lenye milima la Seiri,+ ambao hukuruhusu Israeli wawavamie walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri, bali waligeukia mbali kutoka kwao wala hawakuwaangamiza,+
26 Naye alifanya kutoka kwa mtu mmoja+ kila taifa+ la watu, ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ naye aliamuru nyakati+ na mipaka ya makao ya watu,+