Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 27:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Basi Isaka baba yake akajibu, akamwambia:

      “Tazama, makao yako yatakuwa mbali na udongo wenye rutuba wa dunia, na mbali na umande wa mbingu juu.+

  • Mwanzo 36:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi Esau akaanza kukaa katika eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ni Edomu.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Msigombane nao, kwa sababu sitawapa ninyi sehemu ya nchi yao hata upana wa wayo wa mguu; kwa sababu nimempa Esau Mlima Seiri uwe miliki yake.+

  • Yoshua 24:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Isaka nikampa Yakobo na Esau.+ Baadaye Esau nikampa Mlima Seiri ili aumiliki;+ na Yakobo na wanawe wakashuka Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki