Mwanzo 27:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Basi Isaka baba yake akajibu, akamwambia: “Tazama, makao yako yatakuwa mbali na udongo wenye rutuba wa dunia, na mbali na umande wa mbingu juu.+ Mwanzo 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Esau akaanza kukaa katika eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ni Edomu.+ Kumbukumbu la Torati 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Msigombane nao, kwa sababu sitawapa ninyi sehemu ya nchi yao hata upana wa wayo wa mguu; kwa sababu nimempa Esau Mlima Seiri uwe miliki yake.+ Yoshua 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Isaka nikampa Yakobo na Esau.+ Baadaye Esau nikampa Mlima Seiri ili aumiliki;+ na Yakobo na wanawe wakashuka Misri.+
39 Basi Isaka baba yake akajibu, akamwambia: “Tazama, makao yako yatakuwa mbali na udongo wenye rutuba wa dunia, na mbali na umande wa mbingu juu.+
5 Msigombane nao, kwa sababu sitawapa ninyi sehemu ya nchi yao hata upana wa wayo wa mguu; kwa sababu nimempa Esau Mlima Seiri uwe miliki yake.+
4 Ndipo Isaka nikampa Yakobo na Esau.+ Baadaye Esau nikampa Mlima Seiri ili aumiliki;+ na Yakobo na wanawe wakashuka Misri.+