Mwanzo 25:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Haraka, tafadhali, nipe nimeze chekundu—chekundu hicho, kwa maana nimechoka!” Hiyo ndiyo sababu jina lake lilikuwa Edomu.+ Waamuzi 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova, ulipotoka Seiri,+Ulipopiga mwendo kutoka shamba la Edomu,+Dunia ilitikisika,+ mbingu pia zikatiririka maji,+Mawingu pia yakatiririka maji.
30 Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Haraka, tafadhali, nipe nimeze chekundu—chekundu hicho, kwa maana nimechoka!” Hiyo ndiyo sababu jina lake lilikuwa Edomu.+
4 Yehova, ulipotoka Seiri,+Ulipopiga mwendo kutoka shamba la Edomu,+Dunia ilitikisika,+ mbingu pia zikatiririka maji,+Mawingu pia yakatiririka maji.