27 “Na moyo wa hao wafalme wawili utakuwa na mwelekeo wa kufanya yaliyo mabaya, nao wataendelea kusema+ uwongo kwenye meza moja.+ Lakini hakuna litakalofanikiwa,+ kwa maana mwisho bado ni kwa wakati uliowekwa.+
3 Alipokuwa ameketi juu ya Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakisema: “Tuambie, Mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”+