Zaburi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+ Zaburi 58:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Waovu wamekuwa wapotovu kutoka katika tumbo la uzazi;+Wametanga-tanga tangu tumboni na kuendelea;Wanasema uwongo.+ Zaburi 64:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wanashikilia maneno mabaya;+Wanasema juu ya kuficha mitego.+Wamesema: “Ni nani anayewaona?”+ Methali 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Fikira za waadilifu ni adili;+ uongozi wa waovu ni udanganyifu.+ Methali 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Udanganyifu umo moyoni mwa wale wanaotunga madhara,+ lakini wale wanaoshauri amani wanashangilia.+ Methali 26:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kama fedha inayofunika kipande cha chombo cha udongo, ndivyo ilivyo midomo yenye bidii pamoja na moyo mbaya.+ 1 Timotheo 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa unafiki wa watu wanaosema uwongo,+ waliotiwa alama katika dhamiri+ zao kama kwa chuma cha kutilia alama;
2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+
3 Waovu wamekuwa wapotovu kutoka katika tumbo la uzazi;+Wametanga-tanga tangu tumboni na kuendelea;Wanasema uwongo.+
20 Udanganyifu umo moyoni mwa wale wanaotunga madhara,+ lakini wale wanaoshauri amani wanashangilia.+
23 Kama fedha inayofunika kipande cha chombo cha udongo, ndivyo ilivyo midomo yenye bidii pamoja na moyo mbaya.+
2 kwa unafiki wa watu wanaosema uwongo,+ waliotiwa alama katika dhamiri+ zao kama kwa chuma cha kutilia alama;