Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+

      Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+

  • Zaburi 58:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Waovu wamekuwa wapotovu kutoka katika tumbo la uzazi;+

      Wametanga-tanga tangu tumboni na kuendelea;

      Wanasema uwongo.+

  • Zaburi 64:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wanashikilia maneno mabaya;+

      Wanasema juu ya kuficha mitego.+

      Wamesema: “Ni nani anayewaona?”+

  • Methali 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Fikira za waadilifu ni adili;+ uongozi wa waovu ni udanganyifu.+

  • Methali 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Udanganyifu umo moyoni mwa wale wanaotunga madhara,+ lakini wale wanaoshauri amani wanashangilia.+

  • Methali 26:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kama fedha inayofunika kipande cha chombo cha udongo, ndivyo ilivyo midomo yenye bidii pamoja na moyo mbaya.+

  • 1 Timotheo 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa unafiki wa watu wanaosema uwongo,+ waliotiwa alama katika dhamiri+ zao kama kwa chuma cha kutilia alama;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki