Mathayo 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Wenye furaha ni wale wanaofanya amani,+ kwa kuwa wataitwa ‘wana+ wa Mungu.’ Mathayo 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Zaidi ya hayo, ndugu yako akitenda dhambi, nenda ufunue kosa lake kati yako na yeye peke yake.+ Akikusikiliza, umempata ndugu yako.+
15 “Zaidi ya hayo, ndugu yako akitenda dhambi, nenda ufunue kosa lake kati yako na yeye peke yake.+ Akikusikiliza, umempata ndugu yako.+