Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana katika kinywa chao hakuna lolote lenye kutegemeka;+

      Sehemu yao ya ndani ni shida kwelikweli.+

      Koo yao ni kaburi lililo wazi;+

      Wanatumia ulimi laini.+

  • Zaburi 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Usinikokote pamoja na watu waovu na pamoja na wanaotenda mambo yenye kuumiza,+

      Wale wanaosema amani na wenzao+ lakini ambao katika mioyo yao mna jambo lililo baya.+

  • Zaburi 62:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa kweli wanatoa mashauri ili kumshawishi mtu avunje heshima yake;+

      Wanafurahia uwongo.+

      Wanabariki kwa kinywa chao, lakini ndani yao wanalaani.+ Sela.

  • Yeremia 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ulimi wao ni mshale unaoua.+ Huo umesema udanganyifu. Kwa kinywa chake, mtu anaendelea kusema amani pamoja na mwenzake; lakini ndani yake anaweka mavizio yake.”+

  • Waroma 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana watu wa namna hiyo ni watumwa, si wa Bwana wetu Kristo, bali wa matumbo+ yao wenyewe; na kwa maneno laini+ na maneno ya kusifusifu+ wao huishawishi mioyo ya wasio na lawama.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki