Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana katika kinywa chao hakuna lolote lenye kutegemeka;+

      Sehemu yao ya ndani ni shida kwelikweli.+

      Koo yao ni kaburi lililo wazi;+

      Wanatumia ulimi laini.+

  • Zaburi 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Usinikokote pamoja na watu waovu na pamoja na wanaotenda mambo yenye kuumiza,+

      Wale wanaosema amani na wenzao+ lakini ambao katika mioyo yao mna jambo lililo baya.+

  • Zaburi 55:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+

      Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+

      Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+

      Lakini ni panga zilizochomolewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki