Zaburi 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana katika kinywa chao hakuna lolote lenye kutegemeka;+Sehemu yao ya ndani ni shida kwelikweli.+Koo yao ni kaburi lililo wazi;+Wanatumia ulimi laini.+ Zaburi 28:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Usinikokote pamoja na watu waovu na pamoja na wanaotenda mambo yenye kuumiza,+Wale wanaosema amani na wenzao+ lakini ambao katika mioyo yao mna jambo lililo baya.+ Zaburi 55:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+Lakini ni panga zilizochomolewa.+
9 Kwa maana katika kinywa chao hakuna lolote lenye kutegemeka;+Sehemu yao ya ndani ni shida kwelikweli.+Koo yao ni kaburi lililo wazi;+Wanatumia ulimi laini.+
3 Usinikokote pamoja na watu waovu na pamoja na wanaotenda mambo yenye kuumiza,+Wale wanaosema amani na wenzao+ lakini ambao katika mioyo yao mna jambo lililo baya.+
21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+Lakini ni panga zilizochomolewa.+