Hesabu 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo akasema na kusanyiko, na kuwaambia: “Geukeni kando, tafadhali, kutoka mbele ya mahema ya watu hawa waovu wala msiguse chochote kilicho chao,+ msije mkafagiliwa mbali katika dhambi yao yote.” Zaburi 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda-dhambi,+Wala uhai wangu pamoja na watu wenye hatia ya damu,+
26 Ndipo akasema na kusanyiko, na kuwaambia: “Geukeni kando, tafadhali, kutoka mbele ya mahema ya watu hawa waovu wala msiguse chochote kilicho chao,+ msije mkafagiliwa mbali katika dhambi yao yote.”
9 Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda-dhambi,+Wala uhai wangu pamoja na watu wenye hatia ya damu,+