Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 16:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na shauri la Ahithofeli, aliloshauri siku hizo, lilikuwa kama inavyokuwa wakati mtu ameuliza juu ya neno la Mungu wa kweli. Hivyo ndivyo lilivyokuwa shauri+ lote la Ahithofeli+ kwa Daudi na pia kwa Absalomu.

  • Zaburi 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Usinikokote pamoja na watu waovu na pamoja na wanaotenda mambo yenye kuumiza,+

      Wale wanaosema amani na wenzao+ lakini ambao katika mioyo yao mna jambo lililo baya.+

  • Zaburi 57:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+

      Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,

      Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+

      Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+

  • Zaburi 59:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Tazama! Wanaropoka kwa kinywa chao;+

      Panga ziko midomoni mwao,+

      Kwa maana ni nani anayesikiliza?+

  • Zaburi 62:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa kweli wanatoa mashauri ili kumshawishi mtu avunje heshima yake;+

      Wanafurahia uwongo.+

      Wanabariki kwa kinywa chao, lakini ndani yao wanalaani.+ Sela.

  • Mathayo 26:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yuda, aliyekuwa karibu kumsaliti, akajibu, akasema: “Je, ni mimi, Rabi?” Akamwambia: “Wewe mwenyewe umesema.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki