Zaburi 57:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+ Zaburi 64:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ambao wamenoa ulimi wao kama upanga,+Ambao wameulenga mshale wao, maneno machungu.+ Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+
4 Nafsi yangu iko katikati ya simba;+Sina jambo lingine la kufanya ila kulala katikati ya wamezaji, naam, wana wa binadamu,Ambao meno yao ni mikuki na mishale,+Na ambao ulimi wao ni upanga mkali.+
18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+