Zaburi 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana, tazama! waovu huupinda upinde,+Huutayarisha mshale wao juu ya kamba ya upinde,Ili katika giza wawafyatulie walio wanyoofu moyoni.+ Zaburi 58:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na wayeyuke kana kwamba ni ndani ya maji yanayoenda zake;+Na aupinde upinde kwa ajili ya mishale yake huku wanapoanguka.+ Yeremia 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ulimi wao ni mshale unaoua.+ Huo umesema udanganyifu. Kwa kinywa chake, mtu anaendelea kusema amani pamoja na mwenzake; lakini ndani yake anaweka mavizio yake.”+
2 Kwa maana, tazama! waovu huupinda upinde,+Huutayarisha mshale wao juu ya kamba ya upinde,Ili katika giza wawafyatulie walio wanyoofu moyoni.+
7 Na wayeyuke kana kwamba ni ndani ya maji yanayoenda zake;+Na aupinde upinde kwa ajili ya mishale yake huku wanapoanguka.+
8 Ulimi wao ni mshale unaoua.+ Huo umesema udanganyifu. Kwa kinywa chake, mtu anaendelea kusema amani pamoja na mwenzake; lakini ndani yake anaweka mavizio yake.”+