Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana, tazama! waovu huupinda upinde,+

      Huutayarisha mshale wao juu ya kamba ya upinde,

      Ili katika giza wawafyatulie walio wanyoofu moyoni.+

  • Zaburi 58:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Na wayeyuke kana kwamba ni ndani ya maji yanayoenda zake;+

      Na aupinde upinde kwa ajili ya mishale yake huku wanapoanguka.+

  • Yeremia 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ulimi wao ni mshale unaoua.+ Huo umesema udanganyifu. Kwa kinywa chake, mtu anaendelea kusema amani pamoja na mwenzake; lakini ndani yake anaweka mavizio yake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki