2 Samweli 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana sisi tutakufa hakika,+ tutakuwa kama maji yanayomwagwa chini kwenye udongo, ambayo hayawezi kukusanywa. Lakini Mungu hataondolea mbali nafsi hata moja,+ naye amefikiria sababu zinazofanya yule aliyefukuzwa asifukuzwe kwake. Zaburi 112:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+
14 Kwa maana sisi tutakufa hakika,+ tutakuwa kama maji yanayomwagwa chini kwenye udongo, ambayo hayawezi kukusanywa. Lakini Mungu hataondolea mbali nafsi hata moja,+ naye amefikiria sababu zinazofanya yule aliyefukuzwa asifukuzwe kwake.
10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+