11 Ndipo Hamani akachukua mavazi+ na farasi, akamvika Mordekai+ na kumpandisha juu ya farasi kupitia katika kiwanja cha watu wote+ cha jiji na kupaaza sauti mbele yake:+ “Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme amependa kumheshimu.”+
28 Hapo ndipo mtalia na kusaga meno yenu,+ wakati mtakapomwona Abrahamu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu,+ lakini ninyi wenyewe mkiwa mmetupwa nje.