Isaya 65:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama! Watumishi wangu watapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya hali nzuri ya moyo,+ lakini ninyi mtalia kwa sababu ya maumivu ya moyo nanyi mtapiga mayowe kwa sababu ya mvunjiko kabisa wa roho.+ Mathayo 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 lakini wana wa ufalme+ watatupwa nje katika giza. Nao watalia na kusaga meno yao huko.”+ Mathayo 13:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 nao watawatupa ndani ya tanuru ya moto.+ Humo ndimo watalia na kusaga meno yao.+
14 Tazama! Watumishi wangu watapiga vigelegele kwa shangwe kwa sababu ya hali nzuri ya moyo,+ lakini ninyi mtalia kwa sababu ya maumivu ya moyo nanyi mtapiga mayowe kwa sababu ya mvunjiko kabisa wa roho.+