Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na yeyote ambaye hataanguka chini na kuabudu+ atatupwa wakati huohuo+ ndani ya tanuru inayowaka moto.”+

  • Mathayo 13:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Acheni zikue pamoja mpaka wakati wa mavuno; na katika majira ya mavuno nitawaambia wavunaji, Kwanza kusanyeni magugu na kuyafunga matita-matita ili kuyateketeza motoni,+ ndipo nendeni mkusanye ngano ghalani mwangu.’ ”+

  • Mathayo 13:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 nao watawatupa ndani ya tanuru ya moto. Humo ndimo watalia na kusaga meno yao.+

  • Ufunuo 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini kwa habari ya waoga na wale wasio na imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu+ wao na wauaji+ na waasherati+ na wale wanaozoea kuwasiliana na pepo na waabudu-sanamu+ na waongo+ wote, fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto+ na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki