12 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake, naye atausafisha uwanja wake wa kupuria, na kukusanya ngano yake katika ghala+ lakini makapi atayateketeza kwa moto+ usioweza kuzimwa.”
17 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake ili kuusafisha kabisa uwanja wake wa kupuria na kukusanya+ ngano ndani ya ghala lake, lakini makapi+ atayateketeza kwa moto+ usioweza kuzimwa.”