Mathayo 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 lakini wana wa ufalme+ watatupwa nje katika giza. Nao watalia na kusaga meno yao huko.”+ Mathayo 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo mfalme akawaambia watumishi wake, ‘Mfungeni mikono na miguu na kumtupa gizani, kule nje. Huko ndiko atalia na kusaga meno yake.’+
13 Ndipo mfalme akawaambia watumishi wake, ‘Mfungeni mikono na miguu na kumtupa gizani, kule nje. Huko ndiko atalia na kusaga meno yake.’+