Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 29:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na kutoka kwao hakika laana itachukuliwa na kundi zima la wahamishwa walio katika Babiloni, na kusema: “Yehova na akufanye kama Sedekia na kama Ahabu,+ ambao mfalme wa Babiloni aliwachoma motoni!”+

  • Danieli 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 na kwamba yeyote ambaye haanguki chini na kuabudu atupwe ndani ya tanuru inayowaka moto.+

  • Danieli 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kama ni hivyo, Mungu ambaye tunamtumikia anaweza kutuokoa. Yeye atatuokoa+ kutoka katika tanuru inayowaka moto na kutoka mkononi mwako, Ee mfalme.

  • Danieli 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo Nebukadneza akakaribia mlango wa tanuru inayowaka moto.+ Akajibu na kusema: “Shadraki, Meshaki na Abednego, enyi watumishi wa Mungu Aliye Juu Zaidi,+ tokeni nje, mje hapa!” Ndipo Shadraki, Meshaki na Abednego wakaanza kutoka katikati ya moto ule.

  • Ufunuo 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye akapewa ruhusa kuipa pumzi ile sanamu ya mnyama-mwitu, hivi kwamba ile sanamu ya mnyama-mwitu iseme na pia kufanya wauawe wale wote ambao hawakutaka hata kidogo kuiabudu ile sanamu+ ya mnyama-mwitu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki