26 Ndipo Nebukadneza akakaribia mlango wa tanuru inayowaka moto.+ Akajibu na kusema: “Shadraki, Meshaki na Abednego, enyi watumishi wa Mungu Aliye Juu Zaidi,+ tokeni nje, mje hapa!” Ndipo Shadraki, Meshaki na Abednego wakaanza kutoka katikati ya moto ule.