Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Ndipo Daudi akaongeza: “Yehova, aliyenikomboa kutoka katika makucha ya simba na kutoka katika makucha ya dubu, yeye ndiye atakayenikomboa kutoka mkononi mwa huyu Mfilisti.”+ Kwa hiyo Sauli akamwambia Daudi: “Nenda, na Yehova awe pamoja nawe.”+

  • 2 Samweli 22:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa mtu mshikamanifu utatenda kwa ushikamanifu;+

      Kwa mtu asiye na kosa, mwenye nguvu, utatenda kwa njia isiyo na kosa;+

  • Zaburi 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.+

      Nitamwogopa nani?+

      Yehova ni ngome ya uhai wangu.+

      Nitamhofu nani?+

  • Methali 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+

  • Isaya 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+

  • Danieli 6:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Anaokoa na kukomboa+ na kufanya ishara na maajabu mbinguni+ na duniani,+ kwa maana amemwokoa Danieli kutoka katika makucha ya simba.”

  • Mika 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+

  • 2 Wakorintho 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kutoka katika kitu kikubwa sana kama kifo alituokoa naye atatuokoa;+ na tumaini letu limo katika yeye kwamba atatuokoa zaidi pia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki