Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+

      Naye hatawaacha washikamanifu wake.+

      ע [ʽAʹyin]

      Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+

      Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+

  • Zaburi 86:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Uilinde nafsi yangu, kwa maana mimi ni mshikamanifu.+

      Umwokoe mtumishi wako​—​wewe ni Mungu wangu​—​anayekutegemea.+

  • Zaburi 97:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+

      Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+

      Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+

  • Yeremia 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nenda, nawe uitangazie kaskazini+ maneno haya na kusema:

      “‘“Rudi, Ee Israeli mwenye kuasi,” asema Yehova.’+ ‘ “Sitawatazama ninyi kwa hasira,+ kwa maana mimi ni mshikamanifu,”+ asema Yehova.’ ‘ “Sitaendelea kufungia kinyongo mpaka wakati usio na kipimo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki