6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+
8 bali, ‘Yehova yuko hai aliyepandisha na aliyeingiza uzao wa nyumba ya Israeli kutoka katika nchi ya kaskazini na kutoka katika nchi zote ambako nimewatawanya,’ na hakika wao watakaa katika nchi yao wenyewe.”+
8 Tazama, ninawaleta kutoka katika nchi ya kaskazini,+ nami nitawakusanya kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+ Kati yao patakuwa na vipofu na vilema, mwanamke mwenye mimba na yule anayezaa, wote pamoja.+ Watarudi hapa wakiwa kutaniko kubwa.+