Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nami nitaifanya nchi iwe ukiwa,+ nao adui zenu wanaokaa ndani yake wataitazama kwa mshangao.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na Yehova atawatawanya ninyi katikati ya watu,+ nanyi mtabaki hesabu chache+ katikati ya mataifa ambayo Yehova atayafukuzia mbali.

  • Kumbukumbu la Torati 28:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 “Na Yehova atakutawanya katikati ya vikundi vyote vya watu kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho mwingine wa dunia,+ na huko utalazimika kuitumikia miungu mingine ambayo hukuijua, wala wewe wala mababu zako, miti na mawe.+

  • 1 Wafalme 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kwa kweli Yehova atawapiga Israeli, kama vile tu tete linavyoyumba-yumba majini;+ naye atawang’oa+ Israeli kutoka katika nchi hii nzuri+ aliyowapa mababu zao, naye atawatawanya+ ng’ambo ya ule Mto,+ kwa sababu walitengeneza miti yao mitakatifu,+ na hivyo kumtia uchungu+ Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki