28 Basi Yehova akawang’oa kutoka katika udongo wao kwa hasira+ na ghadhabu na ukali mwingi na kuwatupa katika nchi nyingine kama ilivyo kufikia leo hii.’+
6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+