6 Ikiwa yeyote hakai katika muungano pamoja nami, huyo hutupwa nje kama tawi na hukauka; na watu hukusanya matawi hayo na kuyatupa ndani ya moto nayo yanateketezwa.+
38 Na kwa hiyo, chini ya hali zilizopo, ninawaambia ninyi, Msijiingize katika mambo ya watu hawa, bali waacheni; (kwa sababu, ikiwa mpango huu au kazi hii imetoka kwa wanadamu, itaangamizwa;+