Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tazama! Lazima utiwe motoni uwe kuni.+ Hakika moto huteketeza miisho yake yote miwili, na sehemu yake ya katikati huungua.+ Je, unafaa kwa kazi yoyote?

  • Mathayo 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tayari shoka+ limewekwa kwenye mzizi wa miti; basi, kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa+ na kutupwa ndani ya moto.+

  • Waroma 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Vema! Kwa sababu ya ukosefu wao wa imani+ yalikatwa, lakini wewe umesimama kwa imani.+ Uache kuwa na mawazo ya kujivuna,+ bali uogope.+

  • Waebrania 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana haiwezekani kamwe kwa habari ya wale ambao wametiwa nuru+ mara moja kwa wakati wote, na ambao wameonja zawadi ya bure+ ya kimbingu, na ambao wamekuwa washiriki wa roho takatifu,+

  • Waebrania 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ukizaa miiba na mibaruti, hukataliwa na huwa karibu kulaaniwa;+ nao mwisho wake huchomwa.+

  • 1 Yohana 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wao waliondoka kwetu, lakini hawakuwa wa namna yetu;+ kwa maana ikiwa wangekuwa wa namna yetu, wangebaki pamoja na sisi.+ Lakini wao waliondoka ili ionyeshwe wazi kwamba si wote walio wa namna yetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki