4 Tazama! Lazima utiwe motoni uwe kuni.+ Hakika moto huteketeza miisho yake yote miwili, na sehemu yake ya katikati huungua.+ Je, unafaa kwa kazi yoyote?
4 Kwa maana haiwezekani kamwe kwa habari ya wale ambao wametiwa nuru+ mara moja kwa wakati wote, na ambao wameonja zawadi ya bure+ ya kimbingu, na ambao wamekuwa washiriki wa roho takatifu,+
19 Wao waliondoka kwetu, lakini hawakuwa wa namna yetu;+ kwa maana ikiwa wangekuwa wa namna yetu, wangebaki pamoja na sisi.+ Lakini wao waliondoka ili ionyeshwe wazi kwamba si wote walio wa namna yetu.+