Zaburi 80:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Huo umeteketezwa kwa moto, umekatwa.+Wanaangamia kutokana na kemeo la uso wako.+ Yohana 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ikiwa yeyote hakai katika muungano pamoja nami, huyo hutupwa nje kama tawi na hukauka; na watu hukusanya matawi hayo na kuyatupa ndani ya moto nayo yanateketezwa.+
6 Ikiwa yeyote hakai katika muungano pamoja nami, huyo hutupwa nje kama tawi na hukauka; na watu hukusanya matawi hayo na kuyatupa ndani ya moto nayo yanateketezwa.+