45 Na waaminifu waliokuwa wamekuja pamoja na Petro ambao walikuwa kati ya wale waliotahiriwa wakashangaa, kwa sababu zawadi ya bure ya roho takatifu ilikuwa ikimiminwa pia juu ya watu wa mataifa.+
7 Mimi nilikuja kuwa mhudumu+ wa hilo kulingana na zawadi ya bure ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu nilizopewa kulingana na njia ambayo nguvu zake hutenda.+
17 Kila zawadi njema+ na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ kwa maana hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ naye habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.+