Mathayo 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa ndani ya moto.+ Luka 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo akaendelea kutoa mfano huu: “Mtu fulani alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake la mizabibu,+ naye akaja akitafuta matunda juu yake,+ lakini hakupata yoyote.+
6 Ndipo akaendelea kutoa mfano huu: “Mtu fulani alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake la mizabibu,+ naye akaja akitafuta matunda juu yake,+ lakini hakupata yoyote.+