17 Ijapokuwa huenda mtini usichanue,+ kusiwe na mazao kwenye mizabibu; kazi ya mzeituni ikashindwa, matuta yasizae chakula chochote.+ Huenda kundi liondolewe zizini, na kusiwe na mifugo katika mazizi;+
13 Na kutoka mbali akaona mtini uliokuwa na majani, akaenda kuona kama labda angeweza kupata kitu fulani juu yake. Lakini, alipofika mahali ulipokuwa, hakupata kitu ila majani, kwa maana hayakuwa majira ya tini.+