Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Habakuki 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ijapokuwa huenda mtini usichanue,+ kusiwe na mazao kwenye mizabibu; kazi ya mzeituni ikashindwa, matuta yasizae chakula chochote.+ Huenda kundi liondolewe zizini, na kusiwe na mifugo katika mazizi;+

  • Marko 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na kutoka mbali akaona mtini uliokuwa na majani, akaenda kuona kama labda angeweza kupata kitu fulani juu yake. Lakini, alipofika mahali ulipokuwa, hakupata kitu ila majani, kwa maana hayakuwa majira ya tini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki