13 “‘Nitakapokuwa nikikusanya, nitawamaliza,’ asema Yehova.+ ‘Hakutakuwa na zabibu juu ya mzabibu,+ wala hakutakuwa na tini juu ya mtini, na hakika majani yatakauka. Na vitu ninavyowapa vitapita kando yao.’”
12 Nami nitaufanya kuwa ukiwa mzabibu+ wake na mtini+ wake, ambao amesema hivi kuuhusu: “Hizo ni zawadi zangu nilizopewa, ambazo wale wanaonipenda kwa tamaa nyingi wamenipa”; nami nitazifanya kuwa msitu,+ na mnyama wa mwituni atazila.