-
Yeremia 8:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 ‘Nitakapowakusanya, nitawamaliza,’ asema Yehova.
‘Hakutakuwa na zabibu zitakazobaki kwenye mzabibu, wala tini kwenye mtini, na majani yatanyauka.
Nao watapoteza kile nilichowapa.’”
-