Zaburi 80:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa nini umebomoa kuta zake za mawe,+Na kwa nini wale wote wanaopita barabarani wameuchuma?+ Isaya 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na sasa, tafadhali, acheni niwajulishe ninyi kitu nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu: Ukigo wake utaondolewa,+ nalo halitakosa kuteketezwa kwa moto.+ Ukuta wake wa mawe utabomolewa, nalo halitakosa kuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga.+
5 Na sasa, tafadhali, acheni niwajulishe ninyi kitu nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu: Ukigo wake utaondolewa,+ nalo halitakosa kuteketezwa kwa moto.+ Ukuta wake wa mawe utabomolewa, nalo halitakosa kuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga.+