63 “Na itatukia kwamba kama vile Yehova alivyokuwa na furaha juu yenu ili kuwafanyia mema na kuwazidisha ninyi,+ ndivyo Yehova atakavyokuwa na furaha juu yenu ili kuwaharibu ninyi na kuwaangamiza ninyi;+ nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+
3 Ndipo nikamwambia mfalme: “Mfalme na aishi mpaka wakati usio na kipimo!+ Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni wakati lile jiji,+ nyumba ya makaburi ya mababu zangu,+ limefanywa ukiwa, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”+