Nehemia 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi wakaniambia: “Wale waliobaki, ambao wamebaki kutoka utekwani, kule katika wilaya ya utawala,+ wako katika hali mbaya sana+ na katika aibu;+ na ukuta+ wa Yerusalemu umebomoka, na malango+ yake yameteketezwa kwa moto.” Zaburi 137:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kama nikikusahau, Ee Yerusalemu,+Mkono wangu wa kuume na uwe msahaulifu.
3 Basi wakaniambia: “Wale waliobaki, ambao wamebaki kutoka utekwani, kule katika wilaya ya utawala,+ wako katika hali mbaya sana+ na katika aibu;+ na ukuta+ wa Yerusalemu umebomoka, na malango+ yake yameteketezwa kwa moto.”