3 Ndipo nikamwambia mfalme: “Mfalme na aishi mpaka wakati usio na kipimo!+ Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni wakati lile jiji,+ nyumba ya makaburi ya mababu zangu,+ limefanywa ukiwa, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”+
62Sitanyamaza kwa ajili ya Sayuni,+ nami sitakaa kimya kwa ajili ya Yerusalemu+ mpaka uadilifu wake utoke kama mwangaza,+ na wokovu wake kama mwenge unaowaka.+