Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo nikamwambia mfalme: “Mfalme na aishi mpaka wakati usio na kipimo!+ Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni wakati lile jiji,+ nyumba ya makaburi ya mababu zangu,+ limefanywa ukiwa, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”+

  • Zaburi 84:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nafsi yangu imetamani sana na pia imedhoofika kwa kutamani nyua za Yehova.+

      Moyo wangu mwenyewe na mwili wangu wenyewe humpigia Mungu aliye hai vigelegele kwa shangwe.+

  • Zaburi 102:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana watumishi wako wamepata raha katika mawe yake+

      Nao wanaelekeza kibali chao kwenye mavumbi yake.+

  • Isaya 62:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Sitanyamaza kwa ajili ya Sayuni,+ nami sitakaa kimya kwa ajili ya Yerusalemu+ mpaka uadilifu wake utoke kama mwangaza,+ na wokovu wake kama mwenge unaowaka.+

  • Yeremia 51:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 “Ninyi mlioponyoka upanga, endeleeni kwenda. Msisimame tuli.+ Mkumbukeni Yehova kutoka mbali,+ Yerusalemu na aingie katika moyo wenu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki