1 Wafalme 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndipo Bath-sheba akainama kifudifudi, akamsujudia+ mfalme na kusema: “Bwana wangu Mfalme Daudi na aishi mpaka wakati usio na kipimo!”+ Danieli 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Wakaldayo wakasema na mfalme katika lugha ya Kiaramu:+ “Ee mfalme, uishi mpaka wakati usio na kipimo.+ Waambie watumishi wako ndoto hiyo, nasi tutaonyesha tafsiri yake.”+
31 Ndipo Bath-sheba akainama kifudifudi, akamsujudia+ mfalme na kusema: “Bwana wangu Mfalme Daudi na aishi mpaka wakati usio na kipimo!”+
4 Basi Wakaldayo wakasema na mfalme katika lugha ya Kiaramu:+ “Ee mfalme, uishi mpaka wakati usio na kipimo.+ Waambie watumishi wako ndoto hiyo, nasi tutaonyesha tafsiri yake.”+