7 Pia, katika siku za Artashasta, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli na wale wenzake walimwandikia Artashasta mfalme wa Uajemi, na maandishi ya barua hiyo yaliandikwa kwa herufi za Kiaramu na kutafsiriwa katika lugha ya Kiaramu.+
11 Ndipo Eliakimu+ na Shebna+ na Yoa+ wakamwambia Rabshake:+ “Tafadhali, sema na watumishi wako katika lugha ya Kisiria,+ kwa maana tunasikia; wala usiseme nasi katika lugha ya Wayahudi+ masikioni mwa wale watu walio juu ya ukuta.”+