Ezra 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na katika siku za utawala wa Mfalme Artashasta wa Uajemi, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli, na wenzake walimwandikia Mfalme Artashasta; wakaitafsiri barua hiyo katika Kiaramu,+ na kuiandika kwa herufi za Kiaramu.* Ezra Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:7 “Kila Andiko,” uku. 86 Mnara wa Mlinzi,1/15/1986, uku. 7
7 Na katika siku za utawala wa Mfalme Artashasta wa Uajemi, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli, na wenzake walimwandikia Mfalme Artashasta; wakaitafsiri barua hiyo katika Kiaramu,+ na kuiandika kwa herufi za Kiaramu.*